Isaiah 40:1-2

Faraja Kwa Watu Wa Mungu


1 aWafarijini, wafarijini watu wangu,
asema Mungu wenu.

2 bSema na Yerusalemu kwa upole,
umtangazie
kwamba kazi yake ngumu imekamilika,
kwamba dhambi yake imefanyiwa fidia,
kwamba amepokea kutoka mkononi mwa Bwana
maradufu kwa ajili ya dhambi zake zote.

Copyright information for SwhKC